
KIPA wa Manchester United David de Gea ameweka Historia ya kuwa Mchezaji wa kwanza Klabuni hapo kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka mara 3 mfululizo baada ya Jana kutunukiwa ile ya Mwaka 2016.
Kwenye Hafla maalum ya kutunuku Tuzo za Man United iliyofanyika Jana Usiku, De Gea alipewa Tuzo ya Sir Bobby Charlton huku Wachezaji wengine kadhaa wakizoa Tuzo mbalimbali.
UZO ZA MAN UNITED 2016:-MCHEZAJI BORA: David De Gea-MCHEZAJI BORA KWA WACHEZAJI: Chris Smalling-GOLI BORA: Anthony Martial (Kwa Goli lake la kwanza kabisa aliloifungia Man United ikiifunga Liverpool Old Trafford)-MCHEZAJI BORA U21: Cameron Borthwick-Jackson-MCHEZAJI BORA U18: Marcus Rashford

0 comments:
Post a Comment